.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Agosti 2015

MLIPUKO MWINGINE WA KEMIKALI WAUWA MTU MMOJA NCHINI CHINA

Mtu mmoja amekufa na wengine tisa kujeruhiwa baada ya mlipuko kutokea kwenye mtambo wa kemikali nchini China mashariki mwa mkoa wa Shandong.

Shirika la habari la taifa la China la Xinhua limesema ghala katika mji wa Zibo, limelipuka na kusababisha moto ambao miale yake mikubwa imeonekana.

Mapema mwezi huu mlipuko wa kemikaki katika ghala moja katika mji wa Tianjin, uliuwa watu 121 na kujeruhia mamia na wengine 54 hawajulikani walipo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni