.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Agosti 2015

WAFUNGWA 14 WA GENGE MOJA WAMEUWAWA GEREZANI KASKAZINI MWA EL SALVADOR

Wafungwa 14 wa genge moja wameuwawa gerezani kaskazini mwa El Salvador, mamlaka za mamlaka za nchi hiyo zimeeleza.

Maafisa wamesema miili yote ya wafungwa hao wanaume ni wa genge hatari la Barrio 18, walibainika katika maeneo mawili tofauti wakati wa ukaguzi kwenye gereza la Quezaltepeque.

Vifo hivyo vinaaminika vimetokana na ugomvi wa ndani ya genge hilo na tayari mamlaka za gereza pamoja na polisi zimeanzisha uchunguzi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni