.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Agosti 2015

NAIBU WAZIRI WA MAJI, MH. AMOS MAKALLA AKAGUA MRADI WA MAJI UTAKOHUDUMIA MJI WA SINGIDA

 
Mkuu wa mkoa wa Singida, Perseko Kone ( kulia ) akimkaribisha Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla

Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos makalla amekagua ujenzi wa mradi wa maji kwa ajili ya mji Singida kwa kutembelea chanzo cha maji Mwankonko na Irao.
 
Mradi huo umekamilika kwa asilimia kubwa na umeanza kuhudumia wananchi wa Manispaa ya Singida na umeghamu bilioni 29.
 
Kukamilika kwa mradi huu kutasaidia kwa kiasi kikubwa kumaliza tatizo la maji kwa wakazi wa singida

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni