.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 4 Agosti 2015

MWANAHARAKATI MASHUHURI APIGWA RISASI NCHINI BURUNDI

Mwanaharakati mashuhuri nchini Burundi amepigwa risasi na kujeruhiwa vibaya na mtu mwenye silaha aliyekuwa kwenye pikipiki.

Kwa mujibu wa familia yake mwanaharakati huyo Claver Mbonimpa ameshambuliwa katika Jiji la Bujumbura.

Mwanaharakati huyo ni miongoni mwa wakosoaji wakubwa wa rais Pierre Nkurunziza katika uamuzi wake wa kuwania urais kwa muhula wa tatu.

Siku ya jumapili msaidizi wa rais Jenerali, Adolphe Nshimirimana aliuwawa kwa kushambuliwa kwa risasi Jijini Bujumbura.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni