.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 2 Agosti 2015

NHIF YATOA SEMINA KWA VIONGOZI WA JUMUIYA YA ZAWIYATUL QADRIYA

Mmoja wa viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria (kushoto) akipongezwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF), Eugine Ngoti (wa kwanza kulia) kabla ya kukabidhiwa kadi ya matibabu ya NHIF mara baada ya kumaliza taratibu husika, kiongozi huyo alionesha mfano kwa viongozi wenzake.
Mmoja wa viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria (kushoto) akikabidhiwa kadi ya matibabu ya NHIF mara baada ya kumaliza taratibu husika, kiongozi huyo alionesha mfano kwa viongozi wenzake.
Baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria wakihudhuria semina hiyo kabla ya kuingia katika mpango wa KIKOA kupitia jumuiya yao. Nyuma ni baadhi ya maofisa kutoka NHIF wakiwa kwenye semina hiyo.
Baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria wakihudhuria semina hiyo kabla ya kuingia katika mpango wa KIKOA kupitia jumuiya yao. Nyuma ni baadhi ya maofisa kutoka NHIF wakiwa kwenye semina hiyo.
Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF), Eugine Ngoti akizungumza katika semina kwa viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria juu ya umuhimu wa kujiunga na mpango wa huduma za matibabu ya bima ya afya unaotolewa kwa makundi yenye malengo mbalimbali ujulikanao kama KIKOA.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni