.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 10 Agosti 2015

NI MAFURIKO!! MAMIA YA WAFUASI WA VYAMA VYA SIASA VYA UPINZANI VINAVYOUNDA UKAWA WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA MH. LOWASSA KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS, SHUGHULI KATIKATI YA JIJI ZASIMAMA KWA MUDA

Mamia ya wafuasi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi ( UKAWA ) waliojitokeza kumsindikiza mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ), Mh. Edward Lowassa kuchukua fomu ya kuwania urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi ( Nec ) jijini Dar es Salaam leo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni