.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 10 Agosti 2015

WATU 11 WAMEKUFA BAADA YA KUKANYAGANA KATIKA HEKALU INDIA

Watu 11 wamekufa na wengine 20 wamejeruhiwa katika tukio la kukanyagana kwenye hekalu mashariki mwa Jimbo la Jharkhand nchini India.

Mahujaji walikuwa wakiadhimisha sherehe ya dini ya Hindu katika mji wa Deoghar wakati tukio la watu kukanyagana likitokea.

Matukio ya watu kufa kwa kukanyagana ni ya kawaida kutokea nchini India wakati wa sherehe za kidini, ambazo huvutia uwepo wa kundi kubwa la watu huku kukiwa na hatua chache za usalama.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni