.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 10 Agosti 2015

WATU MILIONI 1.2 WAACHWA BILA MAKAZI MYANMAR KUTOKANA NA MAFURIKO

Karibu watu milioni moja wameathiriwa na mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini Myanmar tangu mwezi Juni.

Serikali ya nchi hiyo imesema watu wapatao 100 wamekufa na hekari milioni 1.2 za mpunga zimeharibiwa na mafuriko.

Ingawa shule zimefunguliwa katika baadhi ya maeneo, tahadhari mpya ya mafuriko imetolewa kwa watu wanaoishi kwenye Mkoa wa Irrawaddy Delta.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni