.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 10 Agosti 2015

WATU 13 WAKIWEMO WATUMISHI WA UN KATIKA SHAMBULIO NCHINI MALI

Watu wapatao 13 inasadikiwa kuwa wameuwawa wakiwemo watumishi wa Umoja wa Mataifa, katika tukio la kutekwa watu katika hoteli katika mji wa kati wa Sevare nchini Mali.

Wafanyakazi wengine wanne wa Umoja wa Mataifa wamenusurika baada ya kujificha kwenye kabati kwa muda wa saa 24, wakati shambulio hilo likijaribu kudhibitiwa.

Watuhumiwa wa kundi la Kiislam walionasilaha walizidiwa nguvu baada ya kufanywa shambulizi na kikosi cha kambi ya jeshi kilichopo karibu na kambi hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni