.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Septemba 2015

AGIZO LA SERIKALI YA KENYA KUZIFUNGA SHULE ZOTE KUANZIA JUMATATU LAPINGWA NA WADAU

Agizo la serikali ya Kenya kuzifunga shule zote kuanzia jumatatu katika muda usiojulikana kufuatia mgomo wa walimu wa shule za umma nchini humo limeibua malalamiko kutoka kwa wadau wa elimu.

Shule za binafsi ambazo nazo zimeagizwa kufungwa licha ya kutoathiriwa na mgomo huo, zimeapa kutotii agizo hilo la serikali lililotolewa kupitia Wizara ya Elimu ya Kenya.

Viongozi mbalimbali nchini Kenya wamesema serikali imekimbilia kuzifunga shule badala ya kutafuta ufumbuzi wa madai ya nyongeza ya mishahara ya walimu. Chama cha siasa ODM kimetaka shule kufunguliwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni