Timu ya Uingereza itapaswa kushinda
mchezo wa fainali za Kombe la Davis ili kutwaa taji hilo baada ya
ndugu wawili Andy na Jamie Murray kuwashinda wapinzania wao wa
Australia Lleyton Hewitt pamoja na Sam Groth.
Katika mchezo huo wa tenesi kwa
wachezaji wawili wawili, kila upande timu ya Uingereza ilipata
ushindi wa seti 4-6 6-3 6-4 6-7 (6-8) 6-4, ambao sasa unaifanya
Uingereza kuongoza alama 2-1 katika michuano hiyo inayofanyika Jijini
Glasgow.
Kwa sasa sasa Waingereza hao
wanandugu Andy na Jamie Murray watakutana na kati ya timu ya Ubelgiji
ama Argentina katika fainali.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni