Mgombea urais wa Tanzania kupitia
CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi alipowasili kwenye
mkutano wa kampeni katika Jimbo lake la Chato, wilayani Chato, Geita
lmuda huu.
Mke wa Mgombea urais wa Tanzania
kupitia CCM, Janeth Magufuli alipowasili yeye na mumewe kwenye
mkutano w3a kampeni mjini Chato muda mfupi uliopita.
Mgombea uraisa wa CCM Dk Magufuli
akiwapungia mkono wananchi mjini Chato.
Msafara wa Mgombea urais wa Tanzania
kupitia ccm, Dk Magufuli ukipita karibu na taa za kuongozea magari
mjini Chato ukitokea nyumbani kwa mgombea kwenda kwenye mkutano w3a
kampeni mjini Chato muda mfupi uliopita.
Sehemu ya umati wa wananchi
uliojitokeza katika mkutano wa Dk. magufuli. Picha zote na Kamanda
Richard Mwaikenda wa kamanda wa matukio blog.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni