.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 11 Septemba 2015

KIONGOZI MAARUFU WA VENEZUELA LEOPOLDO LOPEZ AFUNGWA JELA MIAKA 13

Kiongozi maarufu wa Venezuela, Leopoldo Lopez amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 13 na miezi tisa jela.

Kiongozi huyo amehukumiwa adhabu hiyo baada ya kutiwa hatiani kwa ghasia za mwaka 2014, ambapo watu 43 wa pande mbili za siasa zinazokinzana walikufa.

Leopoldo Lopez mwenye umri wa miaka 44 alikuwa anashikiliwa kwenye gereza la kijeshi tangu Februari 2014.

Wakati wa kutolewa hukumu hiyo mapigano yametokea baina ya wafuasi wake na wanaharakati wanaoiunga mkono serikali nje ya mahakama mjini Caracas.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni