Serena Williams itabidi angojee hadi
Ijumaa ili kuendelea na michuano ya kalenda ya Grand Slam baada ya
nusu fainali ya wanawake katika michuano ya Wazi ya Marekani,
kuharishwa kutokana na mvua kubwa.
Michezo huo sasa utafanyika kesho, ambapo Serena Williams atakutana na Roberta Vinci baada ya
mchezo wa kwanza wa nusu fainali baina ya Simona Halep na Flavia
Pennetta katika michuona hiyo ya mchezo wa tenesi.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni