Kocha wa Arsenal Arsene Wenger
amekamilisha mpango wa kuachana na mkewe Annie, na sasa yupo huru
kuanza mahusiano mpya.
Jaji wa Mahakama Jijini Paris ametoa
maamuzi ya kuwatenganisha rasmi Wenger na mkewe Annie aliyedumu naye
kwa kipindi cha muda mrefu.
Katika uamuzi huo Wenger ataendelea
kumsaidia kifedha Annie, wamegawana mali pamoja na fedha.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni