Mwanasoka Zlatan Ibrahimovic
ameifungia Paris St-Germain goli lake la kwanza katika msimu huu huku
Angel Di Maria akifunga kwa mara ya kwanza bao katika Ligi Kuu ya
Ufaransa na kuizima timu ya Guingamp.
Mwanasoko Javier Pastore alitoa
pande la goli la kwa Ibrahimovic katika ushindi wa mabao 3-0 na
kuongeza rekodi ya Paris St-Germain ya kutokufungwa. Katika mchezo
huo Di Maria alifunga bao kwa mkwaju wa karibu kufuatia shuti la
Ibrahimovic.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni