.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 27 Septemba 2015

LEWIS HAMILTON AENDELEZA UBABE WA MBIO ZA JAPAN GRAND PRIX

Timu ya Mercedes imerejea katika uongozi na kushinda mbio za magari za Langalanga huku dereva Lewis Hamilton akiendelea kuwa mbabe wa mbio za Japan Grand Prix, kwa kutetea taji lake.

Timu hiyo imefanya miujiza baada ya kutofanya vizuri mwishoni mwa wiki iliyopita huko Singapore, ambapo Hamilton amesawazisha makosa na kumaliza kinara huku Rosberg wa Mercedes naye akitoka nafasi ya nne na kumaliza nafasi ya pili.

Hata hivyo kwa namna Hamilton alivyoshinda mbio hizo za Japan Grand Prix, kutaongeza upinzani baina ya madereva hao wawili wa timu ya Mercedes.
                        Lewis Hamilton akinywa champagne kwenye kikombe alichotwaa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni