Mpango wa kumnyonga mfungwa mlemavu
Abdul Basit nchini Pakistani umehairishwa, wakili wake ameeleza.
Basit hakuweza kunyongwa kutokana na
hali yake kutoendana na miongozo ya jela kuwa mfungwa anayenyongwa
napaswa kusimama wima juu ya jukwaaa la kunyongea kabla ya
kutekelezwa adhabu hiyo.
Watetezi wa Haki za Binadamu nchini
Pakistani wamesema kumnyonga mlemavu kutakuwa ni ukatili wa kikatiba.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni