.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Septemba 2015

SERIKALI YA KENYA YAFIKIRIA KUFUNGA SHULE ZA UMMA KUTOKANA NA MGOMO WA WALIMU

Wizara ya Elimu Kenya, inafikiria kuzifunga shule za umma nchini Kenya kutokana na mgomo wa walimu unaoendelea nchini humo, Waziri wa Elimu Jacob Kaimenyi amesema.

Hata hivyo Waziri Kaimenyi amefuta uwezekano wa kuhairishwa kwa ratiba za mitihani inayoanza mwezi ujao.

Waziri Kaimenyi amekiri kuwa idadi kubwa ya wanafunzi katika shule za msingi na sekondari za umma hawajafundishwa tangu kuanza kwa mgomo wa walimu Septemba mosi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni