Vifo vya watoto wachanga vimepungua
kwa asilimia 50 tangu mwaka 1990, ripoti ya Shirika la Afya Duniani
pamoja na UNICEF imesema.
Ripoti hiyo imesema miaka 25
iliyopita watoto milioni 12.7 waliochini ya umri wa miaka 5 walikufa,
hata hivyo idadi hiyo inatarajiwa kupungua chini ya watoto milioni 6.
Wameeleza kuwa Umoja wa Mataifa
malengo ya kupunguza vifo vya watoto wachanga kwa theluthi mbili kati
ya mwaka 1990 na 2015 hayatofikiwa.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni