.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 7 Septemba 2015

WATU 15 WAFA KATIKA AJALI YA BASI BAADA YA KUTELEZA NCHINI BRAZIL

Watu wapatao 15 wamekufa baada ya basi walilokuwemo kuteleza na kuanguka katika barabara yenye mteremko mkali karibu na mji wa zamani wa wakoloni wa Paraty nchini Brazil.

Watu wengine 30, wamejeruhiwa na ambapo miongoni mwa manusura wachukuliwa kwa ndege na kukimbizwa katika hospitali za karibu.

Basi hilo lilikuwa linasafiri kwenda kwenye fukwe maarufu kwa kuvutia watalii wakati lilipopinduka katika mlima mdogo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni