.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 6 Septemba 2015

WAYNE ROONEY AFIKIA REKODI SIR BOBBY CHARLTON YA KUPACHIKA MABAO

Mshambuliaji wa Uingereza Wayne Rooney amefikia rekodi Sir Bobby Charlton ya heshima ya kuifungia timu ya taifa ya Uingereza mabao 49.

Rooney, 29, alifunga bao kwa mpira wa penati katika ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya San Marino na kufikia rekodi ya Charlton, ambapo baadae alibadilishwa na kutolewa nje kupumzika katika kipindi cha pili. 
          Wayne Rooney akipongezwa na wachezaji wenzake wa Uingereza baada ya kufunga bao
            Asante Mungu: Wayne Rooney akinyanyua mikono juu kumshukuru Mungu
               Mke wa Wayne Rooney, Coleen Rooney akipiga makofi kumpongeza mumewe 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni