.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 14 Oktoba 2015

BARAZA LA MAWAZIRI LA ISRAELI LIMELIAGIZA JESHI LA POLISI KUFUNGA SEHEMU YA JERUSALEM

Baraza la Mawaziri la Israeli limeliagiza jeshi la polisi kufunga sehemu ya Jerusalem katika jaribio la kusitisha wimbi la mashambulizi mabaya.

Baada ya mkutano wa dharura, baraza la mawaziri limesema wanajeshi pia watapelekwa kusaidiana na polisi katika baadhi ya maeneo.

Uamuzi huo umekuja baada ya polisi kusema kuwa Waisraili watatu wameuwawa na zaidi ya 20 wamejeruhiwa kwa risasi pamoja na kuchomwa visu Jerusalem na kati kati ya Israeli.

Washambuliaji wawili waliotambuliwa kuwa ni Wapalestina wameuwawa kwa risasi na polisi Jijini Jerusalem.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni