.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 14 Oktoba 2015

NYOTA WA NBA LAMAR ODOM MAHUTUTI BAADA YA KUPOTEZA FAHAMU

Mchezaji nyota wa mpira wa kikapu wa NBA nchini Marekani Lamar Odom anapigania maisha yake baada ya kupoteza fahamu na moyo kushindwa kufanya kazi alipomtembelea kaka yake huko Nevada baada ya sherehe za mwisho wa wiki na kunywa vidonge mbadala wa viagra.

Mchezaji huyo wa kulipwa wa mpira wa kikapu alikuwa kwenye nyumba ya Dennis Hof, iliyopo Pahrump wakati tukio hilo likitokea jumanne mchana ikiwa ni siku kadhaa kupita tangu afike hapo jumamosi.

Mke wake wa zamani Khloe Kardashian pamoja na dada yake Kim na mama yao Kris Jenner wameonekana wakiwa kando ya kitanda alicholala Odom, na mwakilishi wa Khloe ameitwa kukusanya kila kitu cha Odom.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni