.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Oktoba 2015

PICHA YA MTUMISHI WA NDEGE ALIYELALA SEHEMU YA MIZIGO YAZUA JAMBO

Picha ya mtumishi wa kike wa ndege aliyelala katika sehemu ya juu ya kuweke mizigo kwenye ndege ya shirika moja la China imepata waangaliaji wengi kwenye mitandao ya jamii.

Picha hiyo iliyoingizwa kwenye WeChat imeelezwa kuwa watumishi hulazimishwa na maafisa usalama kulala katika eno la mizigo baada ya ndege kufanya safari kwa saa 30 hadi 50, ikiwa ni tambiko.

Kitendo hicho kimeelezwa kuwa ni cha unyanyasaji na shirika la ndege la Kunming limetoa taarifa yake na kusema inalichunguza tukio hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni