.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Novemba 2015

BONDIA CALLUM SMITH AMDUNDA ROCKY FIELDING KWA KO

Bondia Callum Smith amemdunda Rocky Fielding katika raundi ya kwanza na kufanikiwa kushinda taji la uzani wa super-middleweight nchini Uingereza katika pambano lao Jijini Liverpool.

Callum Smith alimtwanga mpinzani wake huyo wa jadi Rocky Fielding kwa kuonyesha uwezo wa aina yake ambapo alimtoa kwa KO ndani ya dakika mbili na sekunde 45 za raundi ya kwanza.
                 Bondia Callum Smith akimpiga konde zito la kushoto Rocky Fielding
        Refa akimzuia Callum Smith asiuwe huku Rocky Fielding akiwa chali chini

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni