.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 5 Novemba 2015

KIONGOZI WA MYANMAR AUNG SAN SUU KYI KUWA NA WADHIFA JUU YA RAIS

Kiongozi wa Myanmar Bi. Aung San Suu Kyi amesema atakuwa juu ya rais iwapo chama chake cha National League for Democracy (NLD) kitashinda uchaguzi wa jumapili.

Chama cha NLD kinatarajiwa kufanya vizuri katika uchaguzi huo, lakini Bi. Suu Kyi amepigwa marufuku kushika wadhifa wa urais na Katiba ya nchi hiyo.

Hata hivyo kauli ya Bi. Suu Kyi kuwa atakuwa juu ya rais inaashiria kuwa analengo la kuhakikisha anaongoza serikali ya chama chake licha ya kikwazo hicho cha Katiba.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni