.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 22 Novemba 2015

LOUIS VAN GAAL AMETHIBITISHA KUWA ANATAKA KUMREJESHA CRISTIANO RONALDO

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amethibitisha kuwa anataka kumrejesha Cristiano Ronaldo katika dimba la Old Trafford.

Mshambuliaji huyo Mreno, aliaondoka Manchester United kwenda Real Madrid mwaka 2009, kwa uhamisho wa paundi 80 na kuwa miongoni mwa wafungaji bora wa Ligi yaHispania.

Hata hivyo kumeibuka uvumi mfululizo kuwa Ronaldo ambaye sasa anaumri wa miaka 30 anajiapanga kuondoka Real Madrid.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni