.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 8 Novemba 2015

MGOMBEA URAIS WA MAREKANI DONALD TRUMP AZOMEWA NA KUITWA MBAGUZI

Mgombea urais wa Marekani Donald Trump amekumbwa na dhahama ya kuzomewa kwa sauti iliyokuwa kimuita mbaguzi wakati ufunguzi wa shoo ya uchekeshaji jana usiku.

Kitendo hicho kimefanywa na mchekeshaji Larry David, ambaye alisema ni mzaha katika kupaza sauti ya kundi la kudai haki za Walatino, waliokerwa na kauli za Bw. Trump kuhusiana na Wahamiaji wenye asili ya Mexico.


Waandamanaji wenye asili ya Kilatino walikuwa nje ya studio za NBC Jijini New York wakati shoo hiyo ikiendelea.

Wakati akitangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama cha Republican Bw. Trump aliwaelezea wahamiaji wa Mexico kama wabakaji na wauza dawa za kulevya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni