.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 4 Novemba 2015

MSICHANA MMOJA AMEPIGWA MAWE HADI KUFA NCHINI AFGHANISTAN

Msichana mmoja amepigwa mawe hadi kufa nchini Afghanistan baada ya kutuhumiwa kufanya zinaa.

Video iliyopigwa kuonyesha namna msichana huyo alivyokuwa akitekelezewa hukumu hiyo imewekwa kwenye mitandao.

Video hivyo ya sekunde 30, inamuonyesha msichana huyo aliyekuwa kwenye shimo, akiwa amezungukwa na wanaume waliokuwa wakimpiga mawe na uso wake ulichapwa bakora.

Msichana huyo aliyetambulika kwa jina la Rokhshana anaumri wa kati ya miaka 19 na 21, alikuwa akisikika akirejea kukiri imani yake ya Kiislam wakati akipigwa mawe.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni