.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 13 Januari 2016

MKE WA MWANAHARAKATI ALIYEFUNGWA SAUDI ARABIA AKAMATWA

Mke wa mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia, Waleed Abu al-Khair amekamatwa, wanaharakati wa nchi hiyo wamesema.

Mke huyo wa al-Khair, Bi. Samar Badawi alikamatwa kwa madai ya kumiliki akaunti ya twitta inayotoa wito wa kutaka kuachiwa huru kwa mumewe.

Shirika la Amnesty International limekiita kitendo cha kukamatwa Bi. Badawi kama mfanu wa hivi karibuni wa namna Saudi Arabia inavyojaribu kuzima haki za binadamu.

Abu al-Khair amehukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kudharau mamlaka ya Saudi Arabia tangu mwaka 2014.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni