.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 29 Januari 2016

MKUTANO MKUU WA WAHARIRI WAENDELEA MKOANI MOROGORO

Baadhi ya Wahariri wakifuatilia Mkutano wa Jukwaa la Wahariri unaofanyika Morogoro kwenye Hoteli ya Nashera
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Absolom Kibanda wa pili kutoka kulia akifurahia jambo
Wahariri wakiwa makini wakifuatilia mkutano huo wa kwanza kulia ni Abdalah Majura na Tom Chilala mwenye miwani
     Mhariri Apolinary Tairo akichangia jambo kwenye mkutano huo unaofanyika Morogoro
 Wahariri wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya ukumbi wa Nashera Morogoro. (Picha kwa Hisani ya TEF).

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni