.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 28 Februari 2016

HILLARY CLINTON APATA USHINDI MKUBWA DHIDI YA BERNIE SANDERS

Muwania urais wa Marekani Bi. Hillary Clinton amepata ushindi mkubwa dhidi ya Bernie Sanders huko Carolina Kusini katika kura za maoni kwa upande wa wagombea urais wa chama cha Democratic.

Ushindi wa Bi. Clinton ulikuwa ukitarajiwa mno na pia unampa kasi katika kuelekea siku ya Jumanne ambayo kura za maoni zitafanyika kwenye majimbo 11.

Akiongea na wafuasi wake huku akishangiliwa Bi. Clinton amesema kesho kampeni za kuwania urais zitafanyika kitaifa. Sander amempongeza Clinton na kusema kuwa kampeni ndio kwanza zinaanza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni