Timu ya Atletico Madrid imekatishwa
matumaini ya Real Madrid kutwaa kombe la Ligi Kuu ya Hispania La Liga
baada ya kuichapa bao 1-0.
Kocha Diego Simeone na timu yake
sasa yupo nyuma kwa pointi tano nyuma ya vinara Barcelona ambao wanoa
mchezo mmoja mkononi, huku Real ikiwa nyuma kwa pointi tisa.
Katika mchezo huo Antoine Griezmann
alifunga goli pekee mapema katika kipindi cha pili, baada ya kupata
pande la Filipe Luis.
Kiungo wa Real Madrid Isco akinyanyua daruga lililomlenga Fernando Torres
Cristiano Ronaldo akitamani kudondosha chozi kwa kuchanganyikiwa na kipigo



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni