Hispania imethibitisha kuwa mwanamke
mjamzito mmoja amebainika kuwa na virusi vya Zika, ikiwa ni tukio la
kwanza kabisa kutokea barani Ulaya.
Waziri wa Afya wa nchi hiyo amesema
mwanamke huyo alikuwa amerejea hivi karibuni akitokea nchini
Colombia, ambako inaaminika nipo alipopata maambukizi hayo.
Ugonjwa wa Zika, unaosambaa katika
nchi za Amerika, umekuwa ukihusishwa na watoto wanaozaliwa na ubongo
mdogo.
Mbu wanaosambaza virusi vya Zika


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni