Mlipuko uliotoboa tundu kubwa kwenye
ndege ya abiria iliyokuwa ikipaa kutoka katika uwanja wa ndege wa
Mogadishu nchini Somalia, uliotokea siku ya jumanne ulisababisha na
bomu.
Waziri wa Usafirishaji wa Somalia
Ali Ahmed Jamac, amesema bomu hilo lilikuwa na lengo la kuwauwa
abiria wote waliokuwamo kwende ndege hiyo ya shirika la ndege la
Daallo.
Katika tukio hilo abiria mmoja
alirushwa kutoka ndani ya ndege na kufa ambapo abiria wengine wawili
walijeruhiwa. Ndege hiyo aina ya Airbus 321 ililazimika kutua kwa
dharua baada ya tukio hilo.
Tundu kubwa la kupasuka sehemu ya ndege linavyoonekana kwa ndani
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni