.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 11 Februari 2016

UMOJA WA KUJIHAMI WA NATO UPO TAYARI KUFANYA DORIA KWENYE BAHARI YA AEGEAN

Umoja wa Kujihami wa Nato upo tayari kufanya doria kwenye bahari ya Aegean kuwadhibiti watu wanaowavusha kimagendo wahamiaji kutokea nchi ya Uturuki kuingia Ugiriki

Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ashton Carter ametoa tangazo hilo kufuatia ombi kutoka nchi wanachama wa Nato za Uturuki, ujerumani na Ugiriki.

Wakati Mawaziri wa ulinzi wa Nato wakikutana Jijini Brussels, mipango inaandaliwa ya kuwa na jeshi la ushirikiano ili kutekeleza mpango huo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni