Picha za kuogopesha zimenaswa kwenye
kamera ya CCTV baada ya vibaka wawili kumvamia mtu mmoja akiwa
ofisini na kumpiga roba na kisha kumuibia saa yake ya mkononi ya
thamani.
Tukio hilo limetokea huko Etham
Jijini London nchini Uingereza ambapo vibaka hao walifanikiwa
kuondoka na saa hiyo aina ya Rolex yenyethamani ya paundi 15,000.
Kibaka mwenye fulana akiwa amempiga roba mtu. Roba ni roba iwe Mwananyamala ama London ukipigwa inabidi uwe mpole tu.
Jamaa akiwa hoi chini baada ya kula roba kutoka kwa vibaka hao




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni