.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 26 Februari 2016

WATU WANNE WAUWAWA KWA KUPIGWA RISASI NCHINI MAREKANI

Watu wanne wameuwawa akiwemo mtu mwenye silaha katika matukio ya mashambulizi ya mfululizo kwenye jimbo la Kansas, Marekani.

Watu wengine 14 wamejeruhiwa 10 kati yao wapo mahututi, katika shambulizi kwenye kiwanda cha lawnmower, Hesston.

Mtuhumiwa wa mashambulizi hayo ambaye alikuwa ni mwajiriwa wa kiwanda hicho ameuwawa kwa kupigwa risasi kwa mujibu wa polisi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni