.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 27 Machi 2016

BONDIA KELL BROOK AMDUNDA KEVIN BIZIER NA KUTETEA TAJI LAKE

Bondia Muingereza Kell Brook ametetea vyema mkanda wake wa IBF wa uzito wa welterweight kwa kupata ushindi katika raundi ya pili dhidi ya Kevin Bizier huko Sheffield hapo jana.

Brook, 29, alianza kwa kutumia nguvu zaidi dhidi ya mpinzani wake huyo bondia wa Canada, na kufanikiwa kutetea taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo, tangu alitwae mwaka 2014.

Wakati huo huo Bingwa wa Olimpiki Luke Campbell alimshinda Gary Sykes na kutwaa taji la Jumuiya ya Madola.
                        Bondia Kelly Brook akipambana na Kevin Bizier aliyeteleza chini
    Bondia Kelly Brook akitupa konde la kulia lililomkalisha kwenye kamba Bizier
   Bondia Kelly Brook akinyanyuliwa mkono juu baada ya kutangazwa mshindi wa pambano hilo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni