.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 27 Machi 2016

MWANAUME MMOJA AFUNGULIWA MASHTAKA YA UGAIDI

Waendesha mashataka nchini Ubelgiji wamemfungulia mashtaka ya ugadidi mwanaume mmoja kwa kuhusika na mashambulizi ya jumanne Jijini Brussels yaliyouwa watu 28.

Mtuhumiwa huyo ametajwa kuwa ni Faycal C, alikamatwa katika msako uliofanyika siku ya Alhamis, Jijini Brussels.

Katika mashambulizi hayo nusu ya majeruhi walikufa kwenye uwanja wa ndege na wengine katika shambulizi la stesheni ya treni. Kundi la Dola ya Kiislam (IS) limekiri kuhusika.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni