Gari moja la Google linalojiendesha
lenyewe limeligonga basi Jijini California, hata hivyo hakuna mtu
aliyejeruhiwa.
Hii si mara ya kwanza kwa mgari ya
Google yanayojiendesha yenyewe kuhusika katika ajali, lakini safari
hii ni mara ya kwanza gari hilo kuwa chanzo cha ajali.
Kampuni ya Google inatarajiwa
kukutana na Idara ya Ukaguzi wa Magari ya California, kujadili tukio
hilo na kubaini iwapo lawama zielekezwe wapi.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni