.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 1 Machi 2016

NCHI YA PAKISTANI INAJIANDA KUKABILIWA NA MAANDAMANO ZAIDI LEO

Nchi ya Pakistani inajianda kukabiliwa na maandamano zaidi katika mazishi ya aliyekuwa mlinzi aliyemuua Gavana wa Punjab, katika kesi iliyoishtua nchi hiyo.

Mamlaka za nchi hiyo zimeweka ulinzi mkali huko Rawalpindi ambapo maelfu wanatarajiwa kuomboleza kifo cha Mumtaz Qadri aliyengongwa.

Qadri amekuwa akipongezwa kama shujaa na makundi ya Kiislam, baada ya kumuua gavana Salman Taseer mwaka 2011 kutokana na kupinga sheria ya kuwakinga viongozi wa dini. 
                                                                                     Mumtaz Qadri

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni