Will Smith akiwa katika hali ya
furaha jana alionekana akiwa katika upigaji picha wa filamu Jijini
New York City baada ya kusisia utoaji wa tuzo za Oscars.
Muigizaji huyo mwenye umri wa miaka
47, alikatiza mitaani na pia alipeana mikono na mashabiki pamoja na
kutia saini yake kwenye vitu vyao na kupiga bao selfie.
Will na mkewe Jada Pinkett Smith,
44, walipondwa wakati wa Oscars na Mshereheshaji Chris Rock kutokana
na kususia tuzo hizo kutokana na kutokuwa na wawania tuzo weusi.
Will Smith akimsalimia shabiki wa filamu zake Jijini New York



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni