.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 22 Machi 2016

KAMBI YA MAZOEZI YA ARGENTINA YAJAWA NA FURAHA IKIWA NA MESSI

Lionel Messi na wachezaji wenzake wa timu ya taifa ya Argentina wameonekana kuwa wenye furaha mno katika mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya kombe la dunia 2018 dhidi ya Chile utakaofanyika Santiago.

Nyota huyo anayechezea timu ya Barcelona ya Hispania hakucheza na timu ya taifa tangu Julai 2015, huku akiikosa michezo yote ya kampeni ya kuwania kufuzu michuano, na kuifanya timu hiyo kuwa na wakati mgumu bila yeye.
          Wachezaji wa Argentina wakiwa na furaha wakati wakifanya mazoezi yao
Mazoezi yao yaliambatana na adhabu za mizaha za kuchapana makofi kichwani kama inavyoonekana hapa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni