Timu ya Real Madrid ya Hispania imefungua milango ya mazungumzo
ya mkataba na nyota wao Gareth Bale.
Bale mwenye umri wa miaka 26 mkataba wake wa mshahara wa paundi
300,000 kwa wiki umebakiza miaka mitatu lakini Real inataka
kumuongezea miaka miwili ziadi.
Wiki iliyopita Bale aliweka rekodi ya kuwa Muingereza
aliyefunga magoli mengi katika ligi ya Kuu ya Hispania baada ya
kupachika bao lake la 43.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni