Watu 31 wamekufa na wengine wengi kujeruhiwa vibaya katika
mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa kwenye uwanja wa ndege wa
kimataifa na kwenye stesheni ya treni Jini Brussels.
Mabomu mawili yalilipuka kwenye uwanja wa Zaventem na kuuwa
watu 11 na kujeruhi wengine 81, Waziri wa Afya wa Ubelgijia amesema.
Mlipuko mwingine ulitokea kwenye stesheni ya treni ya metro
baada ya saa moja baadaye na kuuwa watu 20, meya wa Brussels amesema.
Mtu aliyejeruhiwa na mlipuko wa bomu akiwa amelala chini
Watoa huduma ya kwanza wakiwa wanatoa huduma kwa majeruhi
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni