Licha ya kutokuwepo tena katika klabu ya Liverpool, lakini ni
dhahiri Luis Suarez bado anaiweka klabu yake hiyo ya zamani karibu na
moyo wake.
Wakati Barcelona haitocheza hadi jumamosi, mshambuliaji huyo
raia wa Uruguay ametumia muda huo kuitembelea Liverpool wakati
ikijiandaa kuvaana na Manchester United.
Luis Suarez akifuatilia mazoezi ya timu ya Liverpool
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni