.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 8 Machi 2016

LUIS SUAREZ AITEMBELEA LIVERPOOL IKIJIANDAA KUIVAA MAN U

Licha ya kutokuwepo tena katika klabu ya Liverpool, lakini ni dhahiri Luis Suarez bado anaiweka klabu yake hiyo ya zamani karibu na moyo wake.

Wakati Barcelona haitocheza hadi jumamosi, mshambuliaji huyo raia wa Uruguay ametumia muda huo kuitembelea Liverpool wakati ikijiandaa kuvaana na Manchester United.
                                          Luis Suarez akifuatilia mazoezi ya timu ya Liverpool

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni