Mahakama Kuu imewaonya Madonna na
Guy Ritchie kwamba wasipo maliza mvutano wao wa kisheria kuhusiana na
malezi ya mtoto wao Rocco, 15, utamuathiri mtoto huyo.
Jaji MacDonald amewasihi wanandoa
hao waliotengana kumaliza tofauti zao iwapo mtoto huyo aishi, wakati
akitoa maamuzi kesi hiyo itafanyika Jijini New York na si London.
Rocco na Baba yake Guy Ritchie
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni