Msako wa polisi huko Schaerbeek wilaya ya Jette
Jijini Brussels umefanikiwa kukamata watu sita ambao wanadhaniwa
kuhusika na mashambulizi ya mabomu ya jumanne kwenye uwanja wa ndege
na stesheni ya treni.
Nako nchini Ufaransa polisi wamemkamata mtu mmoja
kaskazini mwa Jiji la Paris eneo la Argenteuli ambaye ni mkufunzi wa
watu wanaoijiunga na kundi la IS, akiwa katika hatua za mwisho za
kufanya shambulizi Ufaransa.
Mtuhumiwa aliyekamatwa nchini Ufaransa
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni